Katika pita pita zangu mitandaoni nimekutana na hii Video ya Miss Tanzania. Kipindi ambapo anatafutwa miss kinondoni. Ni kweli alisema ana miaka 18 lakin hakusema kuwa ana degree. Zaid alichosema ni kuwa yeye ni Applicant wa IFM. Sasa sijajua hiz rumors zinatoka wapi. Please cheki hii video kuanzia dk ya 8.
Kingereza sio Lugha yetu na wabongobwalisha kuwa wamempanga miss waovwanao mtaka....Ukifuatikia jinsi alivyo jieleza anastahili kuwa miss Tanzania...Tatizo watu wanataka ma miss wenye Matako makubwa weupe ndio wanafikiri urembo....
Kingereza sio Lugha yetu na wabongobwalisha kuwa wamempanga miss waovwanao mtaka....Ukifuatikia jinsi alivyo jieleza anastahili kuwa miss Tanzania...Tatizo watu wanataka ma miss wenye Matako makubwa weupe ndio wanafikiri urembo....
ReplyDeletehuyu anafaa na hakuna aliekua anafaa kati yawalioshirik
ReplyDelete