BENKI ya CRDB Yafunguka Kuhusu Tetesi ya Kuwa Imepata Hasara Kubwa Mwaka Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Benki ya CRDB imesema haijapata hasara kama tetesi zinavyoenezwa. Imesema kuwa imepata faida ya Bilioni 63 kwa kipindi cha Januari hadi Septemba, 2016.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Charles Kimei amesema mwaka huu wamepanga kufungua matawi 75 na kuajiri wafanyakazi 460.

Dkt. Kimei amesema mwaka jana pekee wamefungua matawi 70 na kuajiri watu 450 jambo ambalo benki nyingi nchini haziwezi kufikia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad