AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo mkongwe ametoa kauli hiyo kwenye mahojiano na mtangazaji wa Nyemo FM, ya Dodoma, Winston Makangale.
“Nimeisikia kauli ya Ruge, kwa namna aliyoiongea na nafasi aliyokuwa nayo, sioni kama kuna kitu kibaya chochote alichokifanya kwa jinsi ambavyo amezungumza, naona amezungumza sahihi tu,” alisema.
Amesema yeye na Ruge hawajahi kuzungumza kwa miaka minne sasa.
“Hajanipigia simu na wala sijampigia simu, kwahiyo sio kwamba tumeongea kitu chochote lakini nayaona tu ni maamuzi ya kikubwa ambayo yamefanyika hapo. Hatujaongea kwasababu tulikuwa na mgogoro,” ameongeza
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Bora kama anajirekebisha, na siyo kufanyakazi ya kuua vipaji vya wasanii huku uwezo wa kuwainua na kuwafanya wasipotee katika anga la muziki anao.
ReplyDelete