Mkenya Aibuka Mshindi wa Maisha Plus

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Olivie Kiarie wa Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus. Fainali za shindano hilo zilifanyika mwishoni mwa wiki.

Ushindi huo umempa Olive kitita cha shilingi milioni 30 za Kitanzania.

Shindano la Maisha Plus lilishirikisha nchi za Afrika Mashariki.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mambo mengine bwana yanatakiwa yawe ni ya watoto wa nyumbani sasa unapotoa chakula chako unawapa wageni wakati nyumbani kuna njaa!! haingii akilini hata kidogo!!! Huko ni kutaka sifa!! nilikuwa naona matangazo ya bahati nasibu ya nchi za nje wanaweka wazi kabisa hii ni kwa ajili wa watanzania tu(mfano).

    ReplyDelete

Top Post Ad