AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy model huyo wa wimbo wa ‘Salome’ amesema kuwa team ndizo zilizochangia Tanzania ishindwe kupata hata tuzo moja.
“Unajua kwanza sisi Tanzania tuna team, kwahiyo team zinakuwa kama zinatutenganisha, kama zile team zote zingekuwa kitu kimoja labda watanzania wote tungeweza kushinda. Kuna watanzania wengine wanadiriki kuwapigia promo Instagram wanigeria washinde wao,” amesema Mobetto.
Mwanamitindo huyo ameongeza kuwa team hizi zingekuwa na faida kama zingekuwa zinaungana kwenye kitu cha kuiwakilisha nchi. Tazama mahojiano hayo hapa chini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK