AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
-Pesa yake ya kwanza kurekodi ngoma studio alipewa na mama yake Tshs 20000/=
-Ni mkulima (ana mashamba ya mpunga zaidi ya heka 100 huko ifakara Morogoro
-Ni mjasiriamali mwenye biashara nyingi ikiwemo duka la nguo
-Ni mmiliki wa vipindi vya TV vya MKASI na NGAZI KWA NGAZI vinavyorushwa EAST AFRICA TV
-Anamiliki kampuni ya UNITY ENTERTAINMENT inayojihusisha na uwakala wa kazi za sanaa,matangazo na kuunganisha wasanii,pia kuleta wasanii wa nje
CONCLUSION:HAYO NI MACHACHE KUHUSIA NA SUPER LEGEND AY MZEE WA COMERCIAL
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hanaga Mbwembwe Mzee wa Commercial mbona wanao mjua tunajua kama ni Tajiri ila mambo yake kimya sio kujitangaza...wee udaku ndio unalijua leo pole...
ReplyDeleteMy favourite person nampenda a.y
ReplyDeleteMimi nampenda sana huyo AY hapendi kujiona kwamba na kitu gani kama kajamba nani kila siku kwenye mitandao
ReplyDeletediamond anahofia kupotea ndo mana anakaa mitandaon mda wt hajiamini awaangalie wanaume kina Ay wapo kimya na hawapoteii
ReplyDeletemmmmmh
ReplyDelete