MREMBO Tunda Afunguka Kuhusu Mpenzi Wake Young Dee Baada ya Kurudiana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huwenda rapa Young Dee amerudia na mpenzi wake wa zamani Tunda. Kwani wawili hao kwa sasa wapo karibu zaidi kiasi cha kushauriana baadhi ya mambo.

Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii zilizagaa taarifa ya kuwa wawili hao wamerudiana.

Jumatatu hii kupitia istagram, Tunda ameandika:
“Think Positive and Positive things will happen. I am so proud of you, umeweza kubadilisha maisha yako, umekuwa mfano mzuri wa kuigwa! You’ve changed my life, i know bado sijafikia 100% but i promise kufuatisha ushauri wako and become a better me everyday. i Pray everyday Mungu azidi kukuongoza katika njia salama… You’re so blessed!,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad