Unamshauri Nini Diamond Katika Ngoma yake na Rich Mavoko Inayokuja?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aisee kwanza huyu jamaa anastahili Hongera nyingi sana, Huyu ni identity ya taifa kwa sasa within and outside of Africa.

Huyu jamaa pia ana busara na moyo wa kiume sio wa kulialia, juzi alipokosa award ktk MTV awards aliwapa moyo wasanii wenzake wa kitanzania katika ujumbe aliouandika instagram kutokata tamaa kwani watazichukua tu.

Ingawa atakuwa busy sana mpaka mwakani ila Salam amesema kuwa Diamond bado anatoa nafasi kwa watanzania kumshauri afanye nini ili kuboresha mara dufu nyimbo zake hususan videos.

Katika kundi la Wasafi Classic Baby (WCB), Diamond Platnumz ameishaimba na

Harmonize wimbo wa BADO

Rayvanny wimbo wa SALOME

wimbo utakaofuata ataimba na Rich Mavoko (pacha wake kisauti)

Unamshauri nini SIMBA?

Mimi namshauri kwanza katika video yake asimtumie Mwanamke wa kizungu as his Video Queen.

Kuna mabinti wa kiafrika hasa wa kitanzania wazuri sana tu na inapendeza akiwatumia hao na sio wazungu.

Toa ushauri wako wa kuboresha kazi ya Platnumz.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hatuhitaji kolabo ameishiw aimbe pekeyak. Ameishiw? mbon kolab nying? ahshahaaaa.

    ReplyDelete
    Replies
    1. mbona unajiuliza na kujijibu mwenyewe???? inaonyesha una roho mbaya sana

      Delete

Top Post Ad