AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Na mwimbaji wa bongofleva Baraka The Prince ameingia kwenye headlines za kusimamia wasanii na sasa kaanzisha Label iitwayo BANA itakayosimamiwa na watu wawili ambao ni Baraka na mpenzi wake Naj.
BANA tayari imeshafanya mazungumzo na kujiweka kwenye mstari wa kufanya kazi kwa kuwasimamia Wasanii watatu akiwemo Rapper Lord Eyes
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hizo label kila kukicha du bongo ya leo kila mtu anaweza kuwa na label yake ndiyo maana wasanii wengi wa kibongo hawafiki mbali hao wenyewe Daraka na Naj hawajafika popote pale
ReplyDelete