IRENE Uwoya Afunguka Haya Baada ya Gazeti Moja Kudai Anamchukia Wema Sepetu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya gazeti la Ijumaa kutoka na stori “Uwoya: Simpendi Wema” katika ukurasa wake wa mbele, muigizaji wa filamu Irene Uwoya amekanusha madai hayo kupitia ukurasa wake wa instagram.

Pia muigizaji huyo amedai yeye hana tatizo na Wema na sio mtu wa kuwekeana chuki na msanii mwenzake.

Kupitia instagram, Irene aliposti kipande cha gazeti hapo juu na kuandika

“Jamaniii sijawah sema simpend wema… Sina sababu ya kumchukia mim na mpenda kila Mtu na sinaga adui na wala sipend Kuwa na maadui na penda sana kuishi na watu vizuri… Hivo Ndivo nilivyo.”

Pia muigizaji huyo amedai wakati mwingine bifu huanzisha na waandishi wa habari pamoja na mashabiki.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Irene wala usihangaike wana stress zakunyimwa pesa zao hao soon minada itahusika

    ReplyDelete

Top Post Ad