AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mourinho alisimamishwa kuwepo katika benchi la ufundi ikiwa ni baada ya kutolewa dimbani na muamuzi Jon Moss walipomenyana na West Ham kwenye Ligi Kuu, Mourinho alitolewa baada ya kufanya kitendo cha kuipiga teke chupa akipinga mchezaji wake Paul Pogba kuoneshwa kadi ya njano kwenye mechi hiyo.
Sasa hivi kuna habari zikatanabaisha kwamba maofisa wa Manchester wanatoa malalamiko ya kichinichini kwa kitendo cha kocha huyo kutuhumiwa kwa makosa ya Chama cha Kandanda cha England kwa mara ya 3 kwenye kipindi cha mwezi mmoja tu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyo Mourinho anaringa sana sababu ana mihela
ReplyDelete