NAMPENDA Mume Wangu Lakini Haniridhishi Tukiwa Faragha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nampenda sana mume wangu lakini nimeboreka nae! in the bedroom ndio hata usiseme! yaani hata nikikaa mwezi hatujakutana siku ikitokea mechi najua kabisa anaanzia wapi atafanya nini, hayuko creative kabisa.

Najaribu kufanya changes try new positions ila yeye wala. Inaniboa! yaani I can only dream mechi za stori za sinema za x hahaha! ana mashine nzuri lakini utaalam ziro. mpaka nimenunua kitabu flani cha positions hakya nani.

Hayo yote sijawahi kucheat...ivi kuna unyago for men? nakiri kwa kweli niko shy kidogo kumpa somo, jinsi ya kuhandle mwanamke. nifanyeje?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hauko peke yako wengine wakwetu hata hisia hawana eti kisa anawaza pesa...kuchit nayo kujitafutia ukimwi na ma kaswende bas daaah......tunavumilia tu

    ReplyDelete
  2. In bed, a lady is the driver!!

    ReplyDelete
  3. TAFUTA MWENGINE .

    ReplyDelete

Top Post Ad