Nyota wa muziki maarufu nchini zimbabwe Jah Playzah amekumbwa na kashfa kubwa ya kukopi kila kitu video ya wimbo ya wimbo wake jarusarema kutoka katika video ya wimbo mdogomdogo ya mwanamuziki Diamond Plutnumz wa Tanzania. hata hivyo imekuja kugundulika baadae kabisa wakati nyota huyo mzimbabwe akiwa keshabeba tuzo mbali mbali kupitia video hiyo.
Mbona sijaona chochote alichoiga hapooo....tena hii nzur kuliko hata mdogo mdogo
ReplyDeleteDimond mwenyewe keshaiga video za wengine kibao, mbona hamsemi? sijaona chochote hapo ambacho kaiga huyu Mzimbabwe.. we mwandishi senge kweli!!
ReplyDelete