SERIKALI yatangaza Adhabu Mpya Kwa Wala Rushwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali imeeleza dhamira yake ya kuongeza adhabu kwa watu wanaobainika kuhusika na rushwa ili wawe wanalipa fidia ya hasara iliyojitokeza mbali na kutumikia kifungo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki amesema kuwa adhabu zinazotolewa kwa wala rushwa ni ndogo ikilinganishwa na hasara wanayoisababishia serikali, hivyo marekebisho ya sheria hizo itamtaka mlarushwa kulipa fidia ya hasara iliyojitokeza

Akiongea na waandishi wa habari, mara baada ya kuzinduliwa kwa wiki ya kupokea malalamiko ya wananchi, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mhe Angella amesema serikali itahakiki mali za viongozi wa serikali wapatao 500 na kuwataka wananchi kujitokeza kuhakiki mali za viongozi wao pamoja na kutoa taarifa ambazo serikali haikufanikiwa kuzipata.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad