DONALD Trump Amteua Ben Carson Kuwa Waziri wa Makazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Donald Trump amemteua mmoja wa washindani wake kuwa Waziri wa makazi na ustawi wa miji.
Rais huyo mteule amesema amefurahishwa sana kumteuwa Dkt. Ben Carson ambae amemtaja kama aliye na uwezi wa kuimarisha masuala ya jamii.

Ben Carson alistaafu kama daktari wa upasuaji wa kichwa.

Mwandishi wa BBC mjini Washington Marekani amesema bwana Trump na Carson wananuia kuwavutia wafuasi wa chama cha Republican ambao wametaka uwongozi uwepo kwa watu wasio ya uzoefu wa kisiasa.

Dkt Ben Carson ana ushawishi mkubwa miongoni mwa Wamarekani wa madhehebu ya kiinjilisti.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad