WAFANYABIASHARA wa Viungo vya Binadamu Wakamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Utawala nchini Misri umewakamata madaktari, wauguzi na maprofesa wanaoshukiwa kuwa kwenye mtandao wa kimataifa wa biashara ya viungo vya binadamu.

Kukamatwa kwa takriban watu 25 siku ya Jumananne pia kuliwahusisha wale wanaonunua viungo hivyo.

Utawala pia ulipata mamilioni ya dola na dhahabu.

Ni kinyume cha sheria kununua viungo vya binadamu nchini Misri lakini umaskini husababisha watu wengi kuuza viungo vyao.

Shirika la kupambana na ufisadi lenye nguvu, linadai kuwa mtandao uliolengwa uliwajumuisha wamasri na waarabu na ulitumia fursa hali ngumu ya kuichumi ya watu kununua viungo vya watu na kisha kuviuza kwa faida kubwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad