AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAREKANI: Donald Trump ametangaza nia ya kusitisha uagizaji wa ndege 2 mpya za Rais(Air Force One). Adai bei iko juu na huenda imezidishwa.
Ndege hizo ambazo gharama zake ni takribani dola za Marekani bilioni 4 zinatengenezwa na Shirika la Uundaji wa ndege la Boeing.
Trump amesema anahisi bei imezidishwa na shirika hilo linataka kuzidisha faida isivyo halali
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK