AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na urafiki au ukaribu uliopo kati ya Mwana FA na AY lakini kumbe inapofika kwenye kazi huwa inakua tofauti. Mwana FA amesema kuna kolabo ambayo aliomba kushiriki lakini nae ‘akatoswa’ na ameitaja wazi kolabo ambayo aliomba kuifanya ni 'Zigo Remix'.
"Kolabo niliyoomba ni Zigo. Kwanza mimi niliitaka mwanzoni kabisa nikamwambia eh bwana eh mi naomba hii. Sasa AY akaitoa halafu akanipa beat fanya hiyo kama unataka. Nikamwambia umeshatoa mimi sitaki tena".
"Akaja akafanya Remix na Diamond halafu nilipoisikia nikasema eeh bwana ehe humu kama ningekuwa nimepitisha kumi na sita zangu ingekuwa fresh kweli lakini ikawa imeshatoka"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
So what??????
ReplyDelete