NINI Kimemkuta WEMA Sepetu....Afuta Picha Zote Kwenye Account ya Instagram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nini tena kimemkuta malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu? Ama labda ameamua kutoingia mwaka 2017 kwa kumbukumbu za mwaka 2016?

Ni kwa sababu mrembo huyo ameamua kufuta picha zote kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram yenye followers milioni 2.5.


Japo haijajulikana sababu ya kuamua kufanya hivyo, uwezekano kwamba ameamua kuukaribisha mwaka mpya kwa kupost picha mpya ni mkubwa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. si kaamua tu sasa nayo mumeona habar

    ReplyDelete
  2. Wema kapotea siku hizi hajulikani alipo, ni vizuri Wema kufanya hivyo kukaa mbali na media japo kwa muda maana ilikuwa ni kila siku mitandaoni usiwape watu nafasi kukuandika kila siku wewe jifiche tu kwani ni vizuri kwako kuwa watu leo wanakosa cha kuandika kuhusu skendo zako

    ReplyDelete

Top Post Ad