Rayvanny Adai Wasanii Wengi Hupotezwa Kwenye Game na Wanawake Zao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa muda mrefu wasanii wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia wanawake hususan wenye majina makubwa kama njia ya kutafuta kiki ili majina yao yaendelee kuwa mdomoni mwa mashabiki.

Hali hiyo imesababisha kutokuwepo na imani kuhusiana na ukweli katika mahusiano mengi ya mastaa wa Bongo ambapo wengi huhusishwa na kutafuta kiki.

Hata hivyo Ray Vanny amedai kuwa kwa msanii, mwanamke sio kiki bali ni stress tu. Akizungumza na Dizzim Online Jumanne hii, @rayvanny alidai kuwa wanawake wamekuwa wakiwapa zaidi stress wasanii na wengi wakijikuta wakipotea kabisa.

Alidai kuwa uhusiano hasa pale unapoanza kuingia kwenye migogoro humfanya msanii apoteze concentration kwenye muziki wake na kupoteza vingi.

Alitolea mfano hata habari za udaku kuhusu girlfriend wa staa fulani kuhusishwa kuwa na uhusiano na mtu mwingine huwachanganya wasanii sababu huonekana kama wana udhaifu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad