Simba SC Wafuata Njia ya Yanga Kuikataa Mamelodi Sundown..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya soka ya Simba SC nayo imeungana na wapinzani wao Yanga kukataa kucheza mechi ya kirafiki na mabingwa wa Afrika Mamelodi Sundown kutoka Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa mmoja wa viongozi wa Simba, amekiambia kipindi cha Sports HQ cha EFM, hawatacheza mechi hiyo katikati ya wiki hii na mabingwa hao kutokana na kubanwa na ratiba za ligi kuu ya Tanzania Bara.

Naye mratibu wa ziara ya mabingwa hao hapa nchini, Rahim Zamunda amesema wamepanga timu hiyo ya Mamelodi kuanza kucheza mechi ya kwanza na Azam FC Jumatano hii na alikuwa haoni sababu ya timu za Simba na Yanga kukataa bahati hiyo kwa kuwa hata Barcelona wiki chache zilizopita ilikuwa nchini Qatar wakati ligi yao bado inaendelea.

Mamelodi Sundown walikuja nchini kwa ajili ya ziara ya kupinga mauaji ya tembo ambapo walipangiwa kucheza na timu za Yanga, Simba na Azam FC.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad