AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waamuzi wa Uganda wameteuliwa kusimamia mapambano ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika inayoanza Mwezi Februari mwaka huu.
Kamati ya waamuzi ya CAF, imewateua, Mashood Ssali, Hussein Bugembe, Musa Balikoowa Ngobi na Ali Sabila Chelegat kwa ajili ya mchezo wa Zimamoto dhidi ya Ferroviara da Beira, ya Msumbiji, utakaopigwa Februari pili mwa huu, 2017.
Kwa upande wa Tanzania Bara, Alex Muhambi, Ronald Katenya, Okello Lee na Brian Miiro Nsubuga wameteuliwa kusimamia mchezo wa Yanga dhidi ya Ngaya Club De Mde, ya Comoro, wikiend ya Februari 17 -19, 2017.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK