Babu Tale Awashukia Waongozaji Video wa Tanzania...Atoa Mifano Kwa Video Zilizofanana Location

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Babu Tale
Babutale ni meneja maarufu wa kundi la bongofleva la Tip Top connection lakini pia ni meneja wa mwimbaji Diamond Platnumz ambapo leo Tale ameguswa na baadhi ya video kadhaa za bongofleva baada ya kuzitazama akaandika haya.

"Hii ni kwa ndugu zetu madirector wa nyumbani tanzania, tunaomba angalau muwe mnajishugulisha kuangalia vitu ambavyo havijatumika ili kuepuka kufananisha video zetu,sababu inapelekea wasanii kukimbia na kwenda kufanya kazi zao nje ya nchi"
"Mfano kuna video ya dogo janja na roma zote location moja,madee bilnas na wengine wote wametumia vitoa moshi,chege na ben paul wote wametumia gari moja,hilikosa ni la msanii au director? #kelele_za_chura@chegechigunda"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad