AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Abdul Ahmed ‘Ben’ amedaiwa kupima maambukizi ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ukimwi (Ngoma) na kukimbia akidaiwa kuhofi a majibu.
Chanzo makini kililitonya gazeti hili kuwa muigizaji huyo alionekana kwenye kituo f’lani cha afya maeneo ya Kigogo jijini Dar akipima Ukimwi lakini alipokuwa akisubiri majibu kwenye benchi, ghafl a alitimka na kuondoka eneo hilo.
Alipopigiwa simu na mwanahabari wetu na kuelezwa mchongo mzima, Ben alishtuka na kukiri lakini akadai si kwamba alikimbia bali alipata dharura na atarejea kuyachukua majibu. “Nimepata dharura, pale nitarudi tu kuchukua majibu si kwamba nimekimbia moja kwa moja,” alisema Ben.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK