Idris Sultan: Kwa Sasa Siko Kwenye Mahusiano ya Mapenzi (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amedai kwa sasa hana mpenzi.

Akiongea Bongo5 wiki hii, Idris amedai misukosuko aliyoipata baada ya kuweka wazi maisha ya mahusiano yake na malkia wa filamu, Wema Sepetu, imetosha.

“Mimi niko single, na siwezi kuweka wazi mahusiano yangu kwa sababu fulani kaweka wazi mahusiano yake,” alisema Idris Sultan.

Aliongeza,
“Mahusiano yako ya mapenzi ukiyafanya kila mtu ajue inakuwa ni tatizo, nikipata mpenzi na nikiona kuna umuhimu kwa mashabiki wangu kujua nitafanya, lakini kwa sasa hivi siwezi kufanya hivyo,”

Kwa sasa mchekeshaji huyo ni balazi wa amani nchini Tanzania.

Bongo5
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad