Shilole Aeleza Kwanini Mgahawa Wake Ameupa Jina ‘Trump Food’ (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki na filamu Shilole amefungua mgahawa wake mpya Kinondoni jijini Dar es saalam na kuupa jina ‘Trump Food’.

Akizungumza na Bongo5 wiki hii, Shilole amedai amelipenda jina hilo kwa kuwa yeye anapenda harakati za Rais wa Marekani Donald Trump.

“Mgahawa unaitwa ‘Trump Food’ kwa sabubu Shishi kama Shishi ni super woman, Trump hana shobo na mtu, akitaka kufanya kitu anafanya kama mimi nafanya na naendelea kufanya, kwa hiyo aim Trump baby,” alisema Shilole.

Muimbaji huyo alisema toka aufungue mgahawa huyo mambo yanaenda vizuri.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad