Ngoma: Sichezi Mechi ya Simba Ng'oo...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma amewathibitishia mashabiki wa klabu hiyo hatacheza mechi ya Jumamosi dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Ngoma amewambia mashabiki mubashara kupitia mtandao wake wa Facebook alipokuwa akifafanua habari kwamba amegoma kucheza.

"Wengi wanauliza kuhusiana na hali yangu, ukweli ni kwamba mimi ni majeruhi na sitacheza mechi ya Jumamosi, siwezi kucheza kwavile bado nina majeraha."

Kuna watu wanazusha kwamba nimegoma kucheza, hakuna kitu kama hicho hayo ni maneno tu, mimi ninaumwa ntachezaje? mnatakiwa kuelewa afya ya mchezaji ni kitu muhimu kwenye maisha ya mpira.

"Nitakuwa nje ya uwanja kama wiki sita, wala mashabiki wasiwe na wasiwasi kuna Chirwa(Obrey) na Tambwe (Amissi) ni wanajeshi watapambana. Timu itafanya vizuri."
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad