AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa bongo fleva Ray C amefukuzwa kwenye lebo ya wanene Enterteiment baada ya kauli ya yake aliyodai kwamba hajasaini na lebo yeyote.
Akionge kupitia eNewz ya EATV, Maneja wa Wanene Enteriment Gentris amesema kuwa Ray C alikuwa kwenye hatua za mwisho kuweza kusajiliwa katika lebo ya Wanene ila alikosea baada ya kupewa demo ya nyimbo yake ambayo ilikuwa haijawa tayari na kuivujisha hali iliyopelekea uongozi wa wanene kukasirika na kuamua kumtimua.
Hata hivyo Ray C alivyoongea kupitia eNewz alisema sababu iliyopelekea yeye kufanya kazi na wanene ni baada ya kupewa ofa ya kurekodi na lebo hiyo ya Wanene hali iliyompelekea kushindwa kukataa kwa kuwa wanene ni lebo kubwa na yenye vyombo vya kisasa zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK