SIMBA na Yanga Leo Hapatoshi....Watakao Vunju Viti Kukiona, Askari 350 Kuulinda Uwanja wa Taifa leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Askari Polisi wapatao 350 watamwagwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi kulinda usalama wakati Simba na Yanga zikipambana katika mchezo namba 169 wa Ligi Kuu Bara.

Askari hao watakuwa wakilinda usalama wa ndani na nje ya uwanja huo uliopo Manispaa ya Temeke na mtu yeyote atakayefanya fujo au uharibifu ataishia mikononi mwao.

Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Alfred Lucas amesema, askari hao watashirikiana na watu wengine kutoka majeshi mengine na kampuni binafsi za ulinzi kuhakikisha usalama unatawala uwanjani hapo.

“Kuna polisi 350 ambao leo (jana) jioni watafanya mazoezi uwanjani wakijipanga kwa ajili ya kulinda kesho (leo) kuhakikisha hakuna vurugu au uhalifu wowote utakaotokea.

“Nawasihi wote watakaofika uwanjani kutazama mechi kwa utulivu na kutofuata mkumbo wa kufanya fujo kwani wataishia mikononi mwa polisi na walinzi wengine wa siri.

“Hatuwezi kukubali kuona watu wanajipanga kuharibu miundombinu ya uwanja ambao tulipata tabu kuomba uruhusiwe kwa timu hizi, nawasihi watu wasifanye vurugu,” alisema Lucas.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad