AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Si unajua Flora ameshapata bwana mpya yule Daud Kusekwa na vikao nasikia vimepamba moto. Hivyo alikuwa anapambana kwelikweli kuhakikisha anapewa talaka na mimi ninayo nakala yake kama vipi niwatumie.
“Sasa amefanikiwa, wamegawana mali na mahakama imewapa masharti juu ya malezi ya mtoto wao aitwaye Eliza kwamba Flora ndiye atakayempa mahitaji yote ya msingi,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Si unajua wale kuna mali walichuma pamoja? Basi zote wamezipiga pasu. Kuanzia zile zilizokuwa kwenya akaunti ya pamoja na hata ile nyumba yao iliyopo Tabata Kimanga.”
Risasi Jumamosi baada ya kuipata nakala ya hukumu hiyo ya talaka, lilimvutia waya Flora ili kumsikia anazungumziaje hatua hiyo lakini simu yake haikupatikana hewani.
Kwa upande wake Mbasha, alikiri ndoa yao kuvunjika mahakamani na kusema hayuko tayari kuzungumzia mgawanyo wa mali zao. “Wewe elewa tu tumeshaachana, talaka imetoka mahakamani.
Hayo mambo mengine mimi siwezi kuyazungumzia,” alisema Mbasha. Wawili hao kwa sasa kila mmoja ameshampata mwenzi. Flora anatarajia kuolewa Aprili 30, mwaka huu wakati Mbasha bado haijajulikana kama atamuoa mchumba wake wa sasa au la.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mmh jipe moyo leo imegeuka mkuki kwa mbasha
ReplyDelete