Wenger: Bado Nipo Nipo Sana,Kusemwa Nimeshazoea..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amesema kuwa ataendelea kufundisha soka kwa msimu ujao, kwenye klabu hiyo hiyo, au mahala pengine.

Wenger, mwenye umri wa miaka 67, amekuwa na wiki ya aibu baada ya timu yake kuchapwa mabao 5-1 na Bayern Munich, siku ya Jumatano, kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa Barani Ulaya.

Baada ya kipigo hicho, baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu hiyo, wamesema mwisho wa Mfaransa huyo, kufundisha The Gunners, umewadia.

Lakini Wenger amesema kukosolewa amezoea na anafanya kile anachokiamini, ila kila kitu kitajulikana Machi au Aprili mwaka huu, kama ataondoka au kubaki kwenye klabu hiyo ya London.

"Haijarishi kinachotokea nitaendelea kufundisha msimu ujao. ama hapa Arsenal au sehemu nyingine, nina uhakika na hilo". Alisema Wenger.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad