Askofu Achekelea Sadaka Kuongezeka Kanisani..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli (KKKT), Dayosisi ya Pare, Charles Mjema amewapongeza waumini wa usharika huo kwa kuongeza mapato yanayotokana na sadaka.

Askofu Mjema amesema hayo akiwa ni mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa 20 wa Dayosisi ya Kaskazini uliofanyika kwenye dayosisi hiyo.

“Nimeona kwenye taarifa yenu hapa mwaka 1995 sadaka ilikuwa Sh9.4 milioni, lakini mwaka jana matoleo yenu kwa ajili ya kazi ya Bwana yamefikia Sh412.9 milioni. Hongereni,” amesema.

Askofu Mjema amesema wapo watu wanaoogopa kuweka malengo makubwa kwa kukosa ujasiri kutokana na kutokuwa na utamaduni wa kumtolea Mwenyezi Mungu.

Awali, Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Karanga wa mjini Moshi wa Dayosisi ya Kaskazini, Fred Njama amesema nchi imekumbwa na tatizo kubwa la ajira kwa vijana wanaomaliza elimu ya juu.

“Naishauri Serikali ione kwa jicho pana kwamba kwa kurundika vijana bila kujua mustakabali wao tunatengeneza bomu ambalo linasubiri kulipuka,” amesema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad