Breaking News..Timua Timua Yaanza CCM,Magufuli Amtimua Uanachama Sophia Simba,Nchimbi na Kimbisa Wapewa onyo Kali..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanachama Mkongwe wa CCM na Aliyekuwa Mwenyekiti wa Jumiya ya Wanawake Taifa UWT,Sophia Simba Amevulia Uanachama wa Chama na Kamati ya Maadili ya Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ,NEC,.

Aidha Balozi Emannuel Nchimbi na Adam Kimbisa Wamepewa Onyo Kali Juu ya Tabia na Mienendo yao Isiyoridhisha dhidi ya chama.

Taarifa Zaidi Zinakuja...
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad