AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Humphery Polepole jana amefunguka na kuweka wazi juu ya hali ya Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana na kusema kuwa kiongozi huyo kwa sasa hayupo nchini.
Humphery Polepole akiongea na waandisha wa habari jana Makao Makuu ya Chama hicho Lumumba amedai kuwa Katibu Mkuu wa CCM amekwenda nje kwa matibabu
"Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana yuko nje ya nchi kwa matibabu na kuangalia Afya yake na anaendelea vyema"- Alisisitiza Humphery Polepole
Mbali na hilo Polepole amedai kuwa CCM ni chama cha mfano kwa kurithisha maarifa kutoka kwa wazee na kuwafikishia vijana na kujenga msingi wa kuwa viongozi bora.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK