AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele.
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mungu ni mwamnifu na akupe mtoto kwa jina la yesu
ReplyDeleteMungu atakupa mtoto kwa muda usitarajia.
ReplyDelete