Profesa Ndalichako Afanya Usafi Ocean Road, Atoa Misaada..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amefanya usafi na kutoa msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh 4.5 milioni katika Taasisi ya Satarani ya Ocean Road.

Misaada iliyokabidhiwa jana asubuhi ni pamoja na kanga, sabuni za kuogea na kufulia, dawa za meno, juisi, maji ya kunywa, pampers na mabeseni.

Akizungumza mara baada ya kukabidhi msaada huo, Profesa Ndalichako alisema katika kusherehekea wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) waliadhimia kuwatembelea wanawake wanaotibiwa saratani.

“Tunatambua kwamba wana mahitaji pia, kama ilivyo wanawake ndiyo nguzo ya maendeleo kwa hiyo anavyougua kwa muda mfupi familia hutetereka, tumekuja hapa na vifaa mbalimbali ambavyo tunaamini hawa wagonjwa wanavihitaji,” amesema Profesa Ndalichako.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad