Rayvanny Akataa Penzi la Jimama la Kenya...!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


STAA wa Bongo Fleva ambaye ni memba wa Lebo ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’ inayomilikiwa na msanii mkubwa nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Raymond ‘Rayvanny’ amekataa ofa ya penzi iliyotolewa na mwanamke mmoja kutoka Kenya, anayetambulika kwa jina la Mishi Dorah.

Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, wiki iliyopita, mwanamke huyo wa makamo, anayeonekana kuwa mkubwa kiumri kwa staa huyo wa Wimbo wa Bado, alisikika akisema kuwa anampenda mwimbaji huyo aliyeshirikishwa na Diamond katika Kibao cha Salome na kwamba atafanya kila awezalo ili aje nchini, kukutana na hatimaye kumpa penzi.

“Ninampenda Rayvanny, nitamtafuta kwa udi na uvumba nimtunuku penzi ili roho yangu itulie, nampenda sana kwa kweli,” alisema shabiki huyo.

Baada ya kutoka kwa taarifa hizo, wadau mbalimbali kwenye mitandao hiyo, walionekana wakimponda mwanamke huyo, wakimtaka kuachana na mambo hayo kwani hana sifa za kuwa na Rayvanny.

Baada ya kupata habari hizo, Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Rayvanny ambaye alikiri kuona habari za mwanamke huyo na kudai amekuwa akimchafua sehemu mbalimbali.

“Yaani sitaki kumuongelea kabisa huyo mwanamke, maana naona amepanga kunichafua kwani nilienda Kenya wakati f’lani nikakuta habari zake, huku nyumbani Bongo ndiyo hivi tena, sina cha kuongea maana mtu akiamua kukuchafua huwezi kuongea kitu,” alisema mwimbaji huyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad