Stars Nyang'anyang'a Viwango wa Fifa...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika viwango vya soka vinavyotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kutoka nafasi ya 158 mwezi Februari hadi nafasi ya 157 mwezi Machi, kati ya wanachama 211 wa FIFA

Kwa mujibu wa viwango hivyo vilivyotolewa , Argentina imeendelea kubaki katika nafasi yake ya kwanza ikifuatiwa na Brazil, huku Ujerumani ikibaki nafasi ya tatu ikifuatiwa na Chile, Ubelgiji, Ufaransa, Colombia, Ureno, Uruguay, na Hispania ikiwa katika nafasi ya 10

Bara la Afrika linaongozwa na Misri ikiwa imepanda nafasi 3 hadi nafasi ya 20, ikifuatiwa na Senegal katika nafasi ya 28 na mabingwa wa Afrika Cameroon wanafuata wakiwa nafasi ya 32 ambapo wamepanda kwa nafasi moja.

Kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Uganda inakamata nafasi ya 74 ikiwa imekwea kwa nafasi moja, ikifuatiwa na Kenya nafasi ya 88, Rwanda nafasi ya 93, Ethiopia nafasi ya 104, Sudan 138, Tanzania 157 huku Somalia, Djibout na Eritrea zote zikiwa mkiani katika nafasi ya 205.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad