Baada ya Kula Ujana Vyakutosha..Aunty Lulu Sasa Kuimba Gospo...!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA ya maisha ya ujana yenye kila aina ya uchafu hatimaye msanii na Mtangazaji Lulu Semagongo maarufu kama Aunty Lulu, amesema anajiandaa kuimba nyimbo za Injili zitakazozungumzia maisha yake ili watu wengine wajifunze.

Aunty Lulu alisema nyimbo zake zitabadilisha maisha ya watu wengi kwani ujumbe utakaokuwemo ndani yake utazungumzia mambo mengi ambayo amepitia katika maisha yake.

“Najiandaa kuimba nyimbo za Injili na wimbo wangu wa kwanza utaitwa Unikumbuke Mungu, ambapo ndani yake nitaeleza mambo yote niliyopitia kwenye maisha yangu ikiwemo kubadilisha wanaume tofauti, starehe za kila aina, kuvuta sigara na mengine mengi na nimeamua kufanya hivi ili kupitia historia ya maisha yangu vijana wengi wabadilike,” alisema.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad