Hoja ya Mbowe Waliyoidharau Wabunge wa CCM Imeanza Kupata Majibu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Juzi Mh Mbowe katoa hoja ya bunge kujadili usalama wa wananchi kutokana na kushamiri kwa matukio ya kihalifu ya mauaji na utekaji.

Wabunge wa CCM wakiongozwa na Jenista Mhagama wakapinga na kusema Tanzania ni salama kuwa bunge lina mambo mengi ya kujadili. Hayajapita hata masaa 12 askali 8 wamevamiwa na kuuawa, bado kina Mhagama wanasema Tanzania ni Salama.

Nataka kuwaambia CCM kuwa endeleeni na dharau zenu, mnayoyataka soon mtayapata na siku yakiwakuta hakutakuwa na mtu wa kuwasemea wala kuwaonea huruma.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad