AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zaid ya wapiganaji 100 wa Alshabab, ikiwemo makamanda 20 wa Alshabab wanaaminika kuuawa kwenye shambulizi la anga lililotekelezwa na Marekani mapema jana(Jumamosi) katika eneo la El-Adde kusini kwa Somalia.
Wenyeji na maafisa usalama katika eneo hilo ambapo wanajeshi wa Kenya walivamiwa na kuuawa na kundi hilo mwezi januari mwaka jana(2016) walisema kua walisikia ndege za kivita zikiangusha mabomu kwenye maficho ya kundi hilo.
Shambulizi hilo linajiri siku chache baada ya Marekani kusema kuwa itatuma jeshi lake nchini Somalia kutoa mafunzo na vifaa kwa jeshi la Somalia na AMISOM ili kuiwezesha kushinda vita dhidi ya Alshabaab.
Source: China Xinhua News
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK