AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu waliokuwamo kwenye orodha ya kuhojiwa kuhusu dawa za kulevya na kutakiwa kufika Kituo Kikuu cha Polisi lakini hawakufika, wametakiwa kuripoti haraka.
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro bila kutaja idadi alisema jana miongoni mwao wamo walioorodheshwa kwenye orodha iliyokabidhiwa kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga.
“Niwaombe wote waliopokea wito wa polisi waje wahojiwe kwa sababu mtu akija mwenyewe ni tofauti na akisubiri nguvu ya dola kutumika kumkamata,” alisema Siro.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani makonda alimaliza list zake kutaja wahusika wa dawa za kulevya o skendo zimemzima?
ReplyDelete