Rasmi : Tanzania Kuwa na Umeme wa Uhakika..Ni Baada ya Kampuni Zaidi ya 40 za Ufaransa Kuja Kuwekeza Kwenye Umeme..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Zaidi ya kampuni 40 kutoka Ufaransa zipo nchini kuwekeza kwenye umeme utakaosambazwa vijijini. 

Balozi wa Ufaransa nchini, Malika Berak alisema jana kuwa, kampuni hizo zimekuja kwa majadiliano na sekta za umma kuhusu namna ya kuwekeza. 

Alisema wanaosimamia uwapo wa kampuni hizo ni Wizara ya Mambo ya Nje na Maendeleo ya Kimataifa ya Ufaransa chini ya Wakala wa Biashara wa nchi hiyo na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD). 

Wakati huohuo, Naibu Waziri wa Fedha wa Korea Kusini, Song Eon-Seog amesema wametoa Dola 88 milioni za Marekani kusaidia uboreshaji wa mazingira kwa nchi za Afrika ikiwamo Tanzania.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad