AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMUZIKI Ahmed Sadala a.k.a Galatone aliyewahi kutamba katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva na Wimbo wa Samaki amefunguka kuwa suala la mwanadada mrembo na Mwanamuziki Esterina Sanga ‘Linah’ kupata ujauzito limemkatisha tamaa kiasi cha kuamua kupiga chini harakati zake za kumnasa.
Akichonga na Uwazi Showbiz, Galatone alisema kuwa Linah alikuwa ni mwanamke wa ndoto zake na alikuwa amepanga kuzianza harakati za kummendea hivi karibuni lakini baada ya kugundua kuwa ni mjamzito imebidi kujiweka pembeni na kumfi kiria mwanamke mwingine atakayempenda kama Linah.
“Najilaumu mwenyewe kwa .uzembe wangu wa kusubiri kujitosa kwake nikiamini muda ulikuwa haujafi ka, lakini sina namna inabidi tu kujiweka pembeni maana tayari wajanja wamemuwahi na si rahisi kunikubalia na kumuacha anayekwenda kuwa baba wa mtoto wake,” alimaliza Galatone
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK