Ni Kweli Kuwa Hamisa Mobeto Ameinunua Rangi yake ya Ngozi?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Iwapo hauna habari kuwa Hamisa Mobeto ni mmoja wa warembo ambao wanawafanya wengi wakose usingizi, basi sasa hivi umejua. Mrembo huyu kutoka bongo ni model na video vixen ambaye amefanya kazi na wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz na hivi sasa hakuna anayefikia urembo wake.

Hata hivyo kuna wengi ambao wanadai kuwa rangi yake ya mwili ni ya kununua kwani hakuzaliwa akiwa mweupe. Tetesi hizi zimeambatanishwa na picha zake za kitambo kabla ya ‘filters’ kutokea.

Iwapo tetesi hizi zina ukweli, basi kunauwezekano kwamba Hamisa Mobeto amekuwa akizitumia tembe au mafuta ya kugeuza rangi kuwa nyeupe.

Warembo wengi kwa sasa watumia vitu vingi ilikujibadilisha hata baada ya kujua madhara yao. Kwa sasa hatuna uhakika kwamba Hamisa ni mmoja wa watumizi wa tembe hizi.

Tazama picha hizi mbili za mobeto.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. she is beatiful mashallah whether this or that she is cute wenye wivu wajinyonge i admire her stay calm binadamu tumeumbwa na maneno mengi

    ReplyDelete

Top Post Ad