AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa wamegundua njama za Kamati hiyo na viongozi wa TFF kuihujumu klabu yao hasa baada ya kamati ya masaa 72 kuinyangÃanya ushindi timu ya Kagera Sugar baada ya kubainika kuwa ilimchezesha mchezaji Mohamed Fakhi huku akiwa na kadi tatu za njano.
Uongozi klabu ya Simba umesema hautakubaliana na uamuzi ya kuwanyangÃanya pointi tatu na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi ya wachezaji ya Shirikisho la Kandanda Tanzania (TFF).
Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa wamegundua njama za Kamati hiyo na viongozi wa TFF kuihujumu klabu yao hasa baada ya kamati ya masaa 72 kuinyangÃanya ushindi timu ya Kagera Sugar baada ya kubainika kuwa ilimchezesha mchezaji Mohamed Fakhi huku akiwa na kadi tatu za njano.
Manara amesema kuwa Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi ya wachezaji haina mamlaka ya kufanya marejeo ya maamuzi ya kamati ya Masaa 72 na kinachoendelea sasa ni hujuma dhidi yao.
Ameushutumu uongozi wa Rais Jamal Malinzi na Katibu Mkuu, Mwesigwa Celestine kuwa wanatumia 'Uyanga waoà kwani wote hao wamewahi kuwa makatibu wakuu wa klabu hiyo kwa kipindi tofauti.
Amesema kuwa hata serikali ilimtaka Malinzi ambaye na mwenyekiti wa chama cha soka cha mkoa wa Kagera kuachia nafasi moja kwani hata kwenye uamuzi huu, ameangalia maslahi ya mkoa wake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK