UPASUAJI wa Kubadili Jinsia wa Jenner Kua Mwanamke Wakamilika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kweli Ukiyastaajabu ya Mussa, utaona Firauni. Caitlyn Jenner ni mwanamke ambaye awali alifahamika kama Bruce Jenner, mshindi wa mbio za Olimpiki miaka ya 1970 na baba wa kambo wa familia maarufu duniani ya Kardashians, wakiwemo Kim, Khloe, Kylie na Kendall. Bruce kwa kutoridhika na jinsia yake, amechukua hatua ya kufanya upasuaji wa kubadilisha jinsia. Hatua ambayo ilianza takriban miaka miwili iliyopita.


Upasuaji huo umekamilika huku Bruce na sasa Caitlyn kwa kubadili jinsia yake ya kiume na kuweka ile ya kike pamoja na kuweka maziwa na ‘hormones’ za kike mwilini mwake

“Ninawaambia kwa sababu nimeamua kuwa mkweli” alieleza Caitlyn,”Mlikuwa mnataka kujua kama nitaweka jinsia hii ama la. Sasa nimeamua kuweka wazi. Hii ni mara yangu ya mwanzo na mwisho kuzungumzia mabadiliko ambayo tayari nimeyafanya.” Caitlyn alimalizia kwa kiusema, “nNisingependa kuyazungumzia tena.”

Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Caityln, mwana mama huyo kwa sasa anategemea kufanya photoshoot ambayo itamuonyesha katika uhalisia wa jinsi alivyo sasa.



Kutoka katika chanzo cha Familia ya Kardashian, akiwemo aliyekua Kris Jenner, mke wa Bruce kwa miaka 25 kabla ya kuamua kubadili jinsia yake, anatamani jambo hili, ambalo hawakutegemea yapite

 kwa sababu sio jambo jema kwao.

Na Laila Sued
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad