AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakala wa nyota wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann, Eric Olhats amekiri kwamba Manchester United ndio klabu pekee ambayo imeonyesha dhamira kubwa ya kumchukua staa huyo wa kimataifa wa Ufaransa.
United inadaiwa kuwa tayari kuvunja rekodi ya uhamisho wa dunia kwa Griezmann kwa kutoa kitita cha Euro100 milioni ambacho kipo katika kipengele cha mauzo katika mkataba wa staa huyo aliyedhamiria kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Hata hivyo, Real Madrid inatarajiwa pia kutoa ofa kwa staa huyo wa zamani wa Real Sociedad ambaye anadaiwa kuwa tayari kuhamia kwa wapinzani wao licha ya kwamba atakuwa na wakati mgumu kutoka kwa mashabiki wa Atletico.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK