Aga Khan yaja na upasuaji kwa WhatsApp

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Madaktari wa Hospitali ya Aga Khan na Prince Aly Khan nchini India, wanatarajia kuboresha huduma za upasuaji wa mifupa na majeraha kwa kutumia mtandao wa What’sApp.

Teknolojia hiyo mpya inatarajiwa kuanza kutumika nchini baada ya madaktari bingwa kutoka India kuwasili. Madaktari hao kutoka Hospitali ya Prince Aly Khan waliwasili nchini jana kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wenzao wa Hospitali ya Aga Khan kutumia teknolojia hiyo ya kisasa kufanya upasuaji.

Daktari bingwa wa upasuaji mifupa na majeraha wa Hospitali ya Aga Khan, Harry Matoyo amesema madaktari hao walioanza upasuaji wataondoka Jumatatu na kwamba, wanatarajia wataalamu wa hospitali hiyo watakuwa wamenufaika na uzoefu watakaopata.

“Tumetengeneza group (kundi) la What’sApp ambalo litatumiwa na madaktari bingwa wa upasuaji mifupa kati ya nchi hizi mbili, kwa ajili ya kusaidiana iwapo tutakwama wakati wa upasuaji. Tunaweza kupiga picha na kuuliza kitu kinachotakiwa kufanyika,” alisema Dk Matoyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad