Alichokisema Nape Nnauye Baada ya Rais Magufuli Kumtengua Uwaziri Prof Muhongo..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amempongeza Rais John Magufuli kwa kazi iliyofanywa na tume ya uchunguzi wa sakata la mchanga.

Nape anaungana na baadhi ya wabunge ambao pia wamempongeza Rais Magufuli kutokana na kazi aliyofanya kupitia tume hiyo.

Kupitia akaunti yake ya Twitter, Nape ambaye uteuzi wake ulitenguliwa na Rais Machi mwaka huu, ameandika, “hili la mchanga...big up!”

Baada ya kundolewa kwenye nafasi ya uwaziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo nafasi hiyo sasa inashikiliwa na Dk Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad